Tafsiri rahisi ya mwongozo wa uvunaji katika misitu ya hifadhi ya vijiji umetafsiriwa kutoka kwenye kitabu kilichotolewa na Wizara ya Maliasili na Utalii mwaka 2013. Kutokana na mwongozo huo kuandaliwa katika lugha ya kiingereza, Idara ya Misitu na Nyuki kwa kushirikiana na Kampeni ya Mama Misitu imeratibu utengenezaji wa tafsiri rahisi ya mwongozo wa uvunaji...Read More
Tanzania ina eneo la kilomita za mraba 94,500 sawa na hekta milioni 94.5. Kati ya hizo, takriban hekta milioni 481 ni misitu na misitu matajiwazi. Kati ya hekta milioni 48., hekta milioni 28.0 ni hifadhi ya maji, ardhi na bioanuai. Hekta milioni 20 zilizobaki ni misitu na matajiwazi ambayo uvunaji unaruhusiwa kisheria. Misitu hii inajumuisha...Read More